kuna hostel za aina mbili
main campus
na chole campus
main campus kwa mwaka 140,000
chole campus 120,000
main campus upangwa mwaka 4 na wa 5
chole campus ni kwaajili ya mwaka wa 1 na viongozi na foreigners
inaweza ikawa kama watu wana hisi ni jambo la kawaida lakini ukiangalia kwa makini alichofanya harmonize ni moja kati ya worst move kibiashara..uwa tuna jiachia taratibu taratibu huku tukiendelea kumfilisi boss kuliko kuamka na kwenda kuanza maisha mapya akati unalala nyumba ya ofisi na gari la...
Nani ana namba ya Hamissa Mobetto au mama Dylan kama anavyoitwa na Nasib Abdul, mpigieni mwambie tunajua maisha ya mtanzania yamekuwa magumu sana sema aache kuvamia kazi za watu.
Maana anachoimba ni jina lake tu ndo linafanya watu wasikilize bila hvo nazani ni trash music ambao haustahili hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.