Recent content by mwakavuta

  1. mwakavuta

    JamiiForums Tanzania Maisha yangu, ushuhuda wangu; Sijafika sijachoka usikate tamaa Mungu yupo.

    hahaha! mkuu hii laptop yangu hata kwa laki moja hununui imechoka sio kitoto natumia kiswaswadu sio smartphone, angalau napunguza mawazo na kujifunza kupitia hii laptop nzee, Binafsi najiona napunguza mzigo mkubwa sana na kujifunza mengi ninapoingia JF nikipata nafasi. Pia inawezekana nina...
  2. mwakavuta

    JamiiForums Tanzania Maisha yangu, ushuhuda wangu; Sijafika sijachoka usikate tamaa Mungu yupo.

    asante mkuu nilishaamua kutorudi nyumbani nakomaa hadi kieleweke as long as Mungu ananipa afya kila siku, ipo siku kila kitu kitakua sawa.
  3. mwakavuta

    JamiiForums Tanzania Maisha yangu, ushuhuda wangu; Sijafika sijachoka usikate tamaa Mungu yupo.

    kweli mkuu mapambano yanaendelea najua wapo wenye changamoto kunizidi, ninaamini kuna mtu aliyekaribia kukata tamaa kwa kusoma huu uzi atasonga. tutatoboa mungu mwema.
  4. mwakavuta

    JamiiForums Tanzania Maisha yangu, ushuhuda wangu; Sijafika sijachoka usikate tamaa Mungu yupo.

    asante sana mkuu kwa ushauri, binafsi sijisifu lakini najitahidi kutoa kadri ya uwezo wangu sijawahi kuombwa msaada na mtu yeyote nikaacha kumsaidia kama nina uwezo, nitajitahidi sana kuongeza
  5. mwakavuta

    JamiiForums Tanzania Maisha yangu, ushuhuda wangu; Sijafika sijachoka usikate tamaa Mungu yupo.

    amen mkuu asante sana.
  6. mwakavuta

    JamiiForums Tanzania Maisha yangu, ushuhuda wangu; Sijafika sijachoka usikate tamaa Mungu yupo.

    Ni kawaida kwa watu kutafuta hamasa kutoka kwa waliofanikiwa peke yao kwa sababu tunaamini ndio wanaijua njia sahihi ya mafanikio. Binafsi sijafanikiwa kiwango cha kutoa hamasa hiyo kwa wengine lakini nina Imani kuna mtu aliyekata tamaa kabisa atapata nguvu ya kupambana kwa kujua kuwa hayupo...
  7. mwakavuta

    JamiiForums Tanzania Unaujua mtego wa wauaji wa ndoto zako katika maisha?

    Asante mkuu
  8. mwakavuta

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

    Moja ya wimbo bora sana wa kizazi hiki kutoka kwa dizasta. Kiukweli jamaa amemaliza mjadala wote wa usawa wa jinsia
  9. mwakavuta

    JamiiForums Tanzania Unaujua mtego wa wauaji wa ndoto zako katika maisha?

    Je ni biashara gani ulikusudia kuifanya lakini ukaahirisha kwa sababu kuna mtu alikuambia haifai kufanya na ukaua ndoto zako milele? Watu wengi wanakutana na wauaji wa ndoto kila siku na bahati mbaya sana ni wachache wanaofanikiwa kuwakwepa na kuendelea kufanya kazi ndoto zao. Umepata wazo la...
  10. mwakavuta

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishishwa kuhusu ajali iliyohusisha magari yanayoenda Songea

    Haeleweki sana hakwenda songea, ni kama yupo mikoa ya kanda ya kati
  11. mwakavuta

    JamiiForums Tanzania Kufanyike ukaguzi wa maghorofa ya muda mrefu kabla hayajaleta maafa kwa watu

    Hapana mkuu, ingawa pale napo iko shida
Back
Top Bottom