kama vurugu za CHADEMA ni za kutimua vibaraka na wahujumu maendeleo ndani ya chama kwa hakika ni bora vurugu hizi ziingie madarakani zitasaidia kutimua wale wanaowasaliti watz kwa kula pesa za wananchi ktk halmashauri kuliko chama chenye utulivu wa kulinda wabakaji,wauaji,wauza madawa ya...
Wadau, nimekuwa nikifuatilia mgogoro unaondelea ndani ya CHADEMA baina ya maamuzi ya kamati kuu ya chama hicho dhidi ya ZITTO KABWE, jinsi unavyokiweka chama hiki katika wakati mgumu. Upande wa pili ni vile CCM wanavyotumia nafasi hii kuwashawishi wananchi waamini kwamba mgogoro huu unaoendelea...
Busara zimekwisha wekwa katika katiba,sheria,kanuni na miongozo ya chama. Hivyo suala hili litamalizwa kwa CHADEMA kufuata sheria walizojiwekea pasipo kempendelea wala kumuonea mtu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.