Recent content by mwakalingajamson

  1. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wasiojulikana wavamia nyumbani kwa mgombea ubunge moshi vijijini na kupasua kioo cha gari la mke wake

    Huko mkoani Kilimanjaro hali ya hewa imeanza kuchafuka mapemaa baada ya watu wasiojulikana kudaiwa kuvamia nyumbani kwa mgombea wa kiti cha ubunge Jimbo la Moshi Vijijini kwa tiketi ya chama cha CHAUMA,Michael Kilawila na kuharibu gari la mke wake kwa kupasua kioo cha nyuma. Tukio hilo...
  2. M

    JamiiForums Tanzania CCM Moshi mjini chukueni hatua kwa makada waliochapana makonde ndani ya ofisi za chama

    Naandika kuwataka viongozi wa CCM moshi mjini mwenyekiti wangu wa wilaya mzee Faraj Swai,chukueni hatua kwa makada hawa wawili Juma Raibu na Gadafi kuchapana makonde ndani ya ofisi ya chama. Wawili hawa walizozana wakati zoezi la udhamini likiendelea kwa mgombea wa chama cha mapinduzi Jimbo la...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

    Mwanza ipi unaizungumzia mangi Mushi ambayo unataka linganisha na manispaa ya Dodoma iliyopewa hadhi ya kuwa Jiji kwa vile ndiyo makao makuu ya nchi?,hebu lala uote tena mangi Mushi
  4. M

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya Msiba wa Spika Mstaafu Kongwa: Haijulikani ana wake na watoto wangapi?

    Mambo mengine tuwaachie familia naamini hakuna kitakachoharibika
  5. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Vunjo: Kimei aulizwa, Ukiwa bungeni ulisema Vijana wa Vunjo tunafanya kazi haramu, leo hii unakuja kuomba kazi kwa watu haramu, unafikiri tutakupa?

    Kimei aliahidi kuboresha masoko makubwa matatu jimboni kwake,soko la Himo,soko la mwika na soko la marangu mpaka loe hakuna alichokifanya kina mama wanauza mazao chini na nyakati za mvua wanauza chini kwenye matope,aliahidi kuwawezesha vijana mpaka leo ni ziro,anatafuta nini tena huyo mzee huko...
  6. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Vunjo: Kimei aulizwa, Ukiwa bungeni ulisema Vijana wa Vunjo tunafanya kazi haramu, leo hii unakuja kuomba kazi kwa watu haramu, unafikiri tutakupa?

    Kimei aliahidi kuboresha masoko makubwa matatu jimboni kwake,soko la Himo,soko la mwika na soko la marangu mpaka loe hakuna alichokifanya kina mama wanauza mazao chini na nyakati za mvua wanauza chini kwenye matope,aliahidi kuwawezesha vijana mpaka leo ni ziro,anatafuta nini tena huyo mzee huko...
  7. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Vunjo: Kimei aulizwa, Ukiwa bungeni ulisema Vijana wa Vunjo tunafanya kazi haramu, leo hii unakuja kuomba kazi kwa watu haramu, unafikiri tutakupa?

    Kimei aliahidi kuboresha masoko makubwa matatu jimboni kwake,soko la Himo,soko la mwika na soko la marangu mpaka loe hakuna alichokifanya kina mama wanauza mazao chini na nyakati za mvua wanauza chini kwenye matope,aliahidi kuwawezesha vijana mpaka leo ni ziro,anatafuta nini tena huyo mzee huko...
Back
Top Bottom