kwa hilo huwezi kumsemea mtu eti kwanini huendi kwenye misiba ya wasanii hicho ni kitu kilicho moyoni kwa mtu mwenyewe na si sababu ya kuiweka kuwa ni issue.mbona msiba wa sajuki alikuwepo zitto,mdee unataka viongozi wote wa chadema wauzurie ndio iwe furaha kwako?usitoe vitu ambavyo havina...
radii atakuwa na matatizo ya kisaikolojia yaani wazi anaonesha anataka kuwagombanisha wana chadema huyu jamaa ni mtu wa kumuogopa sana hafai hata kidogo naomba utuachie chadema yetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.