Recent content by mwaitakotako mwaipumbuje

  1. M

    TANZIA Mwanamuziki wa Bongo fleva Mandojo afariki Dunia

    Umesoma tu kichwa cha habari chap ukawahi kucoment uwe wa kwanza...dah ni huzuni sana
  2. M

    Kupiga Punyeto ni kufanya mapenzi ya jinsia moja na pia ni kufanya mapenzi kinyume cha maumbile

    Hapa hujanitendea haki kijana, umenitusi bila sababu yeyote ile ya maana. Napata shida kujua hasira hizo zimesababishwa na nini hasa, inafikirisha sana
  3. M

    Kupiga Punyeto ni kufanya mapenzi ya jinsia moja na pia ni kufanya mapenzi kinyume cha maumbile

    Kwenye punyeto kuna jinsia ngapi zinahusika? mimi naona ni moja, wewe nitajie kama kuna ya pili. Alafu pale maumbile sio ya kawaida , je nikisema ni kinyume na maumbile nimekosea wapi?
  4. M

    Kupiga Punyeto ni kufanya mapenzi ya jinsia moja na pia ni kufanya mapenzi kinyume cha maumbile

    Hapana sio kweli, najaribu kuonyesha namna punyeto ni kitendo kibaya ili kiachwe
  5. M

    Kupiga Punyeto ni kufanya mapenzi ya jinsia moja na pia ni kufanya mapenzi kinyume cha maumbile

    Wewe ukisema takataka unakua unakosea! nieleweshe ni kivipi nimekosea? kwenye punyeto jinsia zinazohusika ni ngapi? nitajie ya pili, mimi naona moja. alafu sio maumbile yale yakwaida ya kujamiiana, sasa nikisema kinyume na maumbile ya kawaida nimekosea wapi? nisahihishe basi
  6. M

    Kupiga Punyeto ni kufanya mapenzi ya jinsia moja na pia ni kufanya mapenzi kinyume cha maumbile

    Sasa unanifukuza mimi kosa langu liko wapi? hasira hizo zimeletwa na nini?
  7. M

    Kupiga Punyeto ni kufanya mapenzi ya jinsia moja na pia ni kufanya mapenzi kinyume cha maumbile

    Unaelimika kua punyeto ni ushoga, kama mtu anafanya aache. yani ni LGBTQ mule mule. Umeandika kwa hasira sana, kulikoni?
  8. M

    Kupiga Punyeto ni kufanya mapenzi ya jinsia moja na pia ni kufanya mapenzi kinyume cha maumbile

    Wadau, Kwamimi ninavyoona, kufanya punyeto ni sawa tu kusema unafanya mapenzi ya jinsia moja lakini pia ni sawa tu kusema unafanya mapenzi kinyume cha maumbile. Nyie mnaonaje?
  9. M

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    2 billion dollar kwenye account ni uongo. Unaijua 2bilion dollar
  10. M

    Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

    Huu uzi umeshakua wakijinga sasa.....ile ladha yote imepotea.....Hii thread imecement na kuconfirm kua jambo hata liwe zuri vipi...kama halina utaratibu na defined process flow linageuka kua lakijinga. Hata demu....hata demu awe mzuri vipi na tako kubwa kiasi gani...kama hana akili na utaratibu...
  11. M

    Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

    Unavyozidi kujitetea ndio unazidi kuonekana kichwani kumejaa kinyesi laini badala ya ubongo. Kubali tu ulikua hujui kua mayor ni diwani tu...kwa ushamba wako ulikua unajua ni Rais sijui...alafu kwani inashindikana nini mwenye cheo ku date chokoraa...wewe mbona unaliwa na mashamba boy na una cheo
  12. M

    Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

    Sikutegemea kama uzi wangu best for 2021 so far utaishia kuniudhi kiasi hiki, wewe konda msafi hujui ni kiasi gani umetuletea huzuni kubwa...watu tangu alhamis hatuongei na wenza wetu juu ya huu uzi, alafu unaukata kihuni namna hii....ni kweli kua unachukua muda mwingi wakwako lakini unaweza...
  13. M

    Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

    konda msafi hebu tueleze ukweli kua hiyo episode inayofuta unatupia leo saa ngapi? au kama i kesho useme. Hivi sasa ni saa nne karbu na nusu usiku, tangu alhamisi nimenuniwa na wife kwasababu ya kushikilia simu masaa yote nikifatilia huu uzi. Nimeshaamua wikiend hii siongei na simbembelezi boya...
  14. M

    Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

    Hii story ya Khumbu itanivunjia ndoa yangu wazee....nimeanza nayo ofisini ,wife kaipitia ofisini kunipick twende home nimemwambia anisaidie kudrive ili niendelee kusoma habari ya khumbu....nimeingia home, nimeoga fasta,nimekula kaa ushahidi tu kuepusha maneno na wife nimekamata simu natafuta...
Back
Top Bottom