Leteni lonja za usahili Uhamiaji maana majina yasije kutoka alafu mkaanza kuuliza maswali yanakuaje....ombeni Uhamiaji Mwaka huu naskia wanachukua wengi
Habari wakuu,
Naomba kusaidiwa kujua maswali muhimu yanayoulizwa kwenye nafasi tajwa hapo juu.
Kiukweli hii ni kada ambayo siifahamu vizuri ila akitokea wa kunielewesha na kunipa namna ya interview zao zinakuaje naamini ntaleta ushindani.
Shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.