Wakubwa tupeane elimu kidogo nataka kujua jinsi ya kudelete cheti nilicho pachika Ajira Portal. Nimeweka cheti ambacho hakiko certified.
Sasa nikitaka kukitoa hakuna option ya dellete kuna option ya view na edit basi.
Kwann kwenye hichinkipengele cha status kwenye app kiko hakijajazwa wakat kwenye website wamekijaza vizuri kuwa not shortlisted kwa oral.....ilaa hii aptude test bwana et nina 91 afu siko shortlisted😀🤣
Wakubwa habari za majukumu samahani kwa walio fanya interview Za utumishi hivi karibuni setting yao inakuaje kwa intervier za online au maswali yao yanakua katika mfumo gani?
Wakubwaa habari za majukumu...
Tuwekane sawaa kwenye hili cognitive report ni kitu gani na nini ? Kuna shirika linataka Cognitive report ili procedure za kuaajili ziendeee:
Je kwa tanzania kuna hizi mambo?? Kama zipo zinafanyikajee??
Nimeuliza nipate elewa na kujifunza in General on this please...
Mi niko napiga nao kazi niko mkoa wa Tabora sio siri hawa hawana longo longo kama uko vizuri, kwa anae jitolea kwa mwezi anapata mia Nne na nauli juu so kama una qualification hasa ktk issue za Afyaa we nenda ofisini kaombe kujitoleaa
Hivi mazee ukimaliza kuomba no zote zikawa 100% na system ikasema maombi yako yametumwaa Tamisemi ...vip nikitaka kubadili inawezekanaa .?? Kwa mfano mie nimeambatanisha barua ya maombi na Cv je nikitaka kutoa natoa?? Au maombi yakitumwaa hayabadiliki??
Sio mbishi thinking capacity ya watu humu ni ndogo sana even reasoning hakuna watu wanajitamkia tu na nyie mnakubali....hakana email hata moja iliyo tumwaaa kuhusu kuendelea au kuto endeleaa aise zakuambiwa changanyeni na zenu....mtu from no where anakuambia mimi nilipata 70 nimeambiwa...
Daaa humu ndani Assumption ni nyingi sanaa kuliko ukweli.... HR ni wengi kuliko maelezo....
To be honestly Assumption mtoazo zote hazina ukweli wowote ule zaid mnapeana mapressure na matumaini yasiyo na tijaa...
My take..
Subirini mda na wakati mtajua tu...msijipe vyeo vya Marasilimali watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.