Recent content by Mvala junior

  1. M

    Masikini, wavivu na watu wenye roho mbaya walikuwa wakifurahia hatua za Magufuli kuturudisha kwenye UJAMAA

    Halafu kizazi hiki unapataje ujasiri wa kudharau mfumo uliokupatia fursa ya kuitwa nchi yenye amani na ukarimu??kwa kifupi sielew kwa nini unpoteza muda kukandia watu wenye uthubutu km jpm aliyeendeleza utamadun ulioanzishwa na watangulizi wake??tena ni uumini wa advance socialism kuna kosa...
  2. M

    Diamond apokelewa Congo kwa shangwe

    Hao akina mbowe na tundulisu wana legacy gani??binadamu siku zote ana ishi na udhaifu hakuna atakayethubutu kusema jpm hakuw na udhifu ingawa n rais alielipenda taifa lake kwa dhati,sikufichi hakuna wino utakaopinga hilo.....usipaze sauti ili watu wakusikilize bali kuza utu wako kwan ndio...
Back
Top Bottom