Heshima yenu wadogo kwa wakubwa.
Mm ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza nasoma shahada ya Food science and Technology chuo kikuu cha sokoine, matarajio yangu ni kupata uzoefu wa kufanya kazi katika food industry mbalimbali nikiwa bado mwanafunzi, kuweza kufikia malengo hayo nikaona kwa muda wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.