MAELEZO YAAAKO YOOOTE NI KUJIHAMI KISIASA KWA MWAMBIGHIJA, TULIA ANAFAAA SANA HATA ASIPOFANYA HIYO HISANI YA KUDHAMINI NGOMA ZA ASILI, MTU MWENYE background YA KUJALI ASILIA YAKE ANANAFASI KUBWA YA KUJUA MATATIZO YA WATU KULIKO HUYO UMTAJAYE WEW...... MM KWETU MASUKULU KWA MAREHEM Jackson...
KUPANGA NI KUCHAGUA,.....,........... KWENYE UCHUMI TUNASEMA ........
"HUMAN WANTS ARE UNLIMITED WHILE SCARCE RESOURCES ARE LIMITED";.
........ AND THE SCALE OF PREFERENCE IS APPLIED..........
piga kazi mh. Rais ndo hawa hawa hata ukiwa unaogelea wanasema unawatimulia vumbi........... Bado...
Ni ku- audit and control.... Lakini main source of government financial report ni wizara ya fedha(BOT) maana hao ndiyo wenye dhamana hyo sasa kama asipo taarifa ya CAG aija akisi baadhi ya taarifa kama ilivyowasilishwa na naibu waziri, nani hajafanya kazi yake ipasavyo???
CAG ndyo anaonekana kutokufanya CONCILIATION taarifa zake na taarifa za wizara ya fedha.......... HAYA MAMBO NI YA KITAALAMU SIYO YA KUYALOPOKA LOPOKA KWA HASIRA YA UGUMU WA MAISHA.
mejuaje CAG hajaambiwa???? Lakini hata asipoambiwa yeye si alimaliza kazi yake???? Alafu pia kwa maelezo haya inaonekana CAG pia hakutaka kuthibitisha hesabu zake na ripoti za wizara ya fedha kabla ya kuwasilisha report yake
Sasa unadhihirisha kuwa haujajua maana ya maendeleo endelevu na vigezo/visababishi vya maendeleo endelevu,,,,,,, Lakini pia kama utakuwa na takwimu sahihi ubinafsishaji wa sector za umma enzi za mzee mwinyi mpaka kuja kwa mkapa ndivyo vilivyochangia pia Tanzania kuwa hapa tulipo.......... Hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.