Hivii hii muvi ya Lowasa Vs CCM imekaaje? Maana inaonekana ss mzee kaamua kupambana na chama waziwazi kw nguvu zote. Maswal y kujiuliza, Je akifanikiwa kuw Rais kina Nape na system nzima inayomkataa watapona? Na km hawatapona, Je ni kw manufaa ya taifa?Na kwa kuonyesha ubavu huu dhidi ya chama...
Hivi karibuni Rais kafanya mabadiliko kwenye baraza la mawaziri, kilichonishangaza ni kuwatema waliokuwemo wamasai wote ilhali hawakuwa na kashfa zozote while akawaretain wale wote waliotajwa kuwa mizigo... Je kuna nn nyuma ya pazia kati ya serekali na wamasai? Mwenye jambo na atujuze...
Mkakati maalum wa ccm Kuendeleza sintofahamu ndani ya CDM..pengine wamerelease izo communications kwa makusudi ili kuihadaa CDM na kuchochea mabishano na mpasuko ndani ya Chama
Mkutano unaendelea everything iz perfect... Pipo kutoka kilakona wamejongea,hawajali mvua wala nini..those above who thinks "ni upepo tu" they should think again..its a movement, pepoles movement! Wameitwa wabunge wote wa mtwara wa vyama vyote,waje wapokee maoni ya wananchi na wawe wawakilishi...
Mwandishi wa post hii ni MBUMBUMBU! Waweza toa sababu,ni kwanini labda now zaidi ya miaka hamsini ya uhuru wa Taifa barabara ya Mtwara Dar haijakamilika kwa kiwango cha lami?? Na pia kwanini ijengwe bandari mpya bagamoyo na ilhali kuna bandari (underutilized) za Mtwara na Tanga?
Mtoa hoja...
Gesi leo hii imekua ishu kubwa kusini mwa Tanzania hali ya sasa ikiwa wananchi wameamua kudai haki zao kwa nguvu kutokana na rasilimali zinazowazunguka. Serikali nayo kwa ubabe wake na bila kuwashirikisha wananchi inashikilia msimamo wake kuwa gesi lazima iende Dar es salaam kwakuwa ndo kitovu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.