Recent content by Mutedian

  1. M

    Ushauri wa kufungua Daycare

    Habari zenu! Naomba msaada wa taarifa zitakazosaidia kufungua daycare. Mtu anahitaji kua na nini na nini kwa standard day care, natanguliza shukrani
  2. M

    Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    @ Kamili gado: huyo dr wa huko matembele gharama zake zikoje,nasikia yuko vizuri
  3. M

    MJADALA: Maswali, majibu na ushauri kuhusu Kilimo cha Mpunga cha kitaalam pamoja na masoko yake

    Habarini. Nahitaji kushauriwa kuhusu soko la mpunga. Kwani ndo nimeanza kulima hekar kadhaa na miezi 2 ijayo natarajia kuvuna. Watu wa huko wanasema gunia la mpunga wanauza 45000 na nikifanya hesabu naona sipati faida ilee nzuri yaani. Je, nifanyeje? Ni morogoro
  4. M

    Daktari wa ngozi

    Asanteni sana.
  5. M

    Daktari wa ngozi

    Habari zenu jamani. Nahitaji kujua daktari mzur wa ngozi naweza mpata wapi kwa dsm. Maana nimechoka na mba! Akhsanteni
Back
Top Bottom