Mkuu,
Quran imeandikwa na binadamu, kwa maelekezo ya binadamu, na wakaamua kuchoma nakala zingine ambazo wenzao waliandika Ili wabaki na nakala aina moja.
Quran imekusanywa kuwa kitabu kimoja baada ya kifo cha mwamedi, hata yeye mwenyewe mwamedi hajawahi kuiona hiyo kurani mnayoisoma leo...
Mkuu,
Tuonyeshe hiyo Torati na Injili ambayo Waislamu wanaikubali! iko wapi, tutaipataje ili tujue hiyo new testament tuliyonayo imechakachuliwa?
Kwa kifupi hakuna!!! Injili haijawahi kubadilishwa, imekuwepo miaka kwa miaka, tuna mamia ya manuscripts zinazothibitisha Hilo kuliko kitabu...
Mkuu,
Uthibitisho ni rahisi sana, ni wewe kutuonyesha hizo Biblia ulizozitaja, orodhesha vitabu vyake kila moja ya hizo, katika hiyo orodha utaona vitabu 66 vinajirudia kila Biblia utakayoitaja.
Mkuu,
Heshima kwako.
Umetoa hoja muhimu sana hapo. Kuhusu tofauti ya 'Transmission' ya Quran na Biblia.
Qurani ilisambazwa kwa kuongozwa na kikundi cha watu wachache, ambayo huitwa 'Controlled Transmission'. Watu wenyewe wanajulikana, waliamua Neno gani liwekwe kwenye Quran, mpangilio...
Mkuu,
Usiwadanganye waislamu wenzio wasiofuatilia mambo. Counter challenges kwenye uandishi, uhifadhi na usambazaji wa Quran umekuwepo kwa miaka nenda rudi, na Bado unaendelea hata sasa sehemu nyingi duniani. Mfano rahisi ni kuonekana kwa nakala zaidi ya ishirini za Quran mjadala ulioibuliwa...
Mkuu,
Usikasirike, wakristo hawawezi kumuamini nabii wa uongo mwamedi.
Wakristo duniani kote, wamekubaliana kwenye vitabu 66. Halafu, baadhi ya madhehebu yamekuwa na vitabu vinavyojulikana kama Apokrifa, hivyo wanavisoma kupata hekima ama kujua historia ya mambo, lakini sio kundi moja na vile 66
Mkuu
Roho Mtakatifu ametufundisha kuikataa Quran na mwamedi, amesema ni mpinga kristo na nabii wa uongo, hicho ndiyo kitabu alichotukataza kwa kuwa ni cha uongo.
1 Yohana 2:22-23, 26
22 Ni nani aliye mwongo ila yeye akanaye ya kuwa Yesu ni Kristo? Huyo ndiye mpinga Kristo, yeye amkanaye Baba...
Mkuu,
Roho Mtakatifu ndiye aliyewafunuliwa wakristo wakakubaliana kwenye hivyo vitabu 66 (Hivi ndiyo authoritative ) baada ya hivyo, ametoa liberty, ukiona kinafaa kufundisha unaweza kukisoma, kama unaona hakifai unakiacha, ni vitabu vya historia ama hekima ya jinsi ya Kuishi.
Mkuu,
Nimekwisha kukutajia consensus ya wakristo wa madhehebu yote ni vitabu vingapi, umesema ukiGoogle ni rahisi kupatikana, basi nikajua utavipata kwa urahisi hivyo vitabu.
Vitabu 66 vinakubaliwa na madhehebu yote ya Kikristo, basi hivyo ndivyo vya kuanzia ukitaka kuujua Ukristo.
Mkuu
Heshima kwako,
Madhehebu mbalimbali ya Kikristo yanakubaliana kwenye jumla ya vitabu 66, hivyo vinatambulika kwa madhehebu yote kuwa na mamlaka/hadhi ya kuwa ni maandiko matakatifu yanayowakilisha Neno la Mungu.
Halafu, baadhi ya madhehebu yanavitambua vitabu vingine vinavyoitwa...
Mkuu,
Umeuliza swali zuri sana, nafikiri utapata majibu mazuri pia.
Falsafa ya Ukristo kwenye suala la dhambi inaeleza kuwa ni kosa unalolifanya kwa mujibu wa Mungu, yaani ni jambo ulilolofanya kinyume na amri za Mungu, na hapo uliyemkosea ni Mungu (baadhi ya hizo dhambi zinahusisha...
Mkuu,
Unajichanganya sana kwenye maelezo yako. Kwa hiyo, hizo asilimia umezipataje ikiwa huna hakika na usahihi wa hayo maandiko, si useme tu Biblia yote haiaminiki, kwa upande wako?
Ukumbuke, Biblia imeandikwa miaka mingi kabla Yesu hajazaliwa (Yesu Kristo mwenyewe ameisoma Biblia - Agano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.