Ada tunalipaje maana sijaelewa
Nimepata mkopo 1000000 na ada yote ni shlng mil1.3 jana wamenambia nilipe yote lak 3 kwa pamoja hivi ni sawa ?. Mimi nilifikir unaigawa mara 2 nusu sem ya kwa za na nusu sem ya pili
wala usiumize kichwa vyumba vipo vingi sana ukishuka tu chuo kuna madalali.wengi sana nje wanakupatia chumba unachohitaji na kulingana na mahitaji yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.