Hivi hii nchi kila mtu akilala na kuamka anatunga lake mara kodi za simu, mara hili, mara sasa wameamua kupandisha kodi. Hivi wanategemea mkulima aishi vipi kwa kumuongezea kodi kila siku?
Angalia kwenye sekta ya madini, ni sawa nakusema yanachukuliwa buree tu! Hawa jamaa hawana lolote na wala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.