kama kuna dhambi inaliangamiza Taifa letu kwa sasa hivi ni uchawa na unafiki,wanajua mihimili yote,viongozi wa dini wako complomized na mhimili Mmoja so wanchowaza ni kugawana vyeo baada ya october,nani atamfunga paka kengere.
wanacnhi ndio hawa wanadhani kuna chama au mtu atawapambania badala yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.