Nimeumia sana kiukweli. Tulisoma shule moja primary na baadae secondary, Ila nilikuwa nimemwacha mwaka mmoja nyuma! Mama yake pia alikuwa Mwalimu, na alinifundisha shule ya msingi.
Sasa mnakuwa na local journal kibao, what do you expect? Quality hamna. Watu Wana publish kwa kujuana kwenye journal zetu.
Kuna ma Prof na ma Dr hapa bongo, ukiingia google scholar, ukiandika jina linatokea Facebook
Aliekuwa mgombea ubunge kupitia hatua za awali za kupata kupeperusha bendera ya c.c.m Musoma mjini Dr. Kayombo afariki ktk hospital ya Mkoa wa Mara alfajiri alipokuwa akipata matibabu.
Kayombo the Dr. alikuwa maarufu sana pale alipoimbwa na mwanamziki Bestnaso!
Kesho mwili utasafirishwa...
GPA za kwenye vyeti si kitu kabisa. Ni vilaza tu sema kwa sababu moja au nyingine walifaulu mitihani yao. GPA si kitu, muhimu ni uelewa wa vitu. Lijitu linakariri tu linafaulu baadae na lenyewe linakuja kukaririsha watu. Mbona hao malecture au maprofessor hatuoni wanafanya tafiti ambazo zina...
Mkuu Hero asante sana na hii mada. Ulichokisema ni hoja pana sana. Mimi kuna vitu huwa nashindwa vielewa, sasa kupitia hapa naomba pia niongeze dodoso.
1. Hawa ma lecturer wanaong'ang'ania GPA za 3.8 na 4.0, tunaamini sawa ni vipanga hapa Tanzania. Sasa inakuwaje ukienda kwenye publication hawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.