Recent content by Musoma Yetu

  1. Musoma Yetu

    JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    No reforms no election
  2. Musoma Yetu

    Uelekeo wetu, viongozi wetu na tulipofikia: Tanzania au TANZIA?

    Asante sana kiongozi Asante Mkuu. Nahisi nimerudi muda muafaka
  3. Musoma Yetu

    Uelekeo wetu, viongozi wetu na tulipofikia: Tanzania au TANZIA?

    Ndugu zangu habarini za hapa jamvini....! Musoma yetu niliwamisi sana hapa jamvini. Ni takribani miaka 4 sikuwa active humu, mara ya mwisho ilikuwa 2021! Ni mengi tumepitia hii nchi toka 2015_2024! Nilichogundua 1) Wananchi wanaipenda nchi yao, ila viongozi wengi hawana mlengo huo! Wapo...
  4. Musoma Yetu

    TANZIA Lala Salama Ndugu Yetu Mkakaro Kagere Mkakaro

    Alifundisha nyamatare, na kigera
  5. Musoma Yetu

    TANZIA Lala Salama Ndugu Yetu Mkakaro Kagere Mkakaro

    Nimeumia sana kiukweli. Tulisoma shule moja primary na baadae secondary, Ila nilikuwa nimemwacha mwaka mmoja nyuma! Mama yake pia alikuwa Mwalimu, na alinifundisha shule ya msingi.
  6. Musoma Yetu

    Kwanini Samia anatumia nguvu kubwa kutetea uongozi ambao hakuugharamia?

    Hapa naona kuna vita kali inaendelea Tanzania. 2025 lazima tutapoteza tena kiongozi
  7. Musoma Yetu

    Hivi Maprofesa na PhD candidates wanapublish wapi paper zao hapa Tanzania?

    Sasa mnakuwa na local journal kibao, what do you expect? Quality hamna. Watu Wana publish kwa kujuana kwenye journal zetu. Kuna ma Prof na ma Dr hapa bongo, ukiingia google scholar, ukiandika jina linatokea Facebook
  8. Musoma Yetu

    TANZIA DR. Theophir Kayombo afariki dunia

    Aliekuwa mgombea ubunge kupitia hatua za awali za kupata kupeperusha bendera ya c.c.m Musoma mjini Dr. Kayombo afariki ktk hospital ya Mkoa wa Mara alfajiri alipokuwa akipata matibabu. Kayombo the Dr. alikuwa maarufu sana pale alipoimbwa na mwanamziki Bestnaso! Kesho mwili utasafirishwa...
  9. Musoma Yetu

    Msaada: Mwili wangu unapata joto kali sana

    Mkuu hiyo itakuwa corona
Back
Top Bottom