Ndugu zangu habarini za hapa jamvini....!
Musoma yetu niliwamisi sana hapa jamvini. Ni takribani miaka 4 sikuwa active humu, mara ya mwisho ilikuwa 2021!
Ni mengi tumepitia hii nchi toka 2015_2024! Nilichogundua
1) Wananchi wanaipenda nchi yao, ila viongozi wengi hawana mlengo huo! Wapo...
Nimeumia sana kiukweli. Tulisoma shule moja primary na baadae secondary, Ila nilikuwa nimemwacha mwaka mmoja nyuma! Mama yake pia alikuwa Mwalimu, na alinifundisha shule ya msingi.
Sasa mnakuwa na local journal kibao, what do you expect? Quality hamna. Watu Wana publish kwa kujuana kwenye journal zetu.
Kuna ma Prof na ma Dr hapa bongo, ukiingia google scholar, ukiandika jina linatokea Facebook
Aliekuwa mgombea ubunge kupitia hatua za awali za kupata kupeperusha bendera ya c.c.m Musoma mjini Dr. Kayombo afariki ktk hospital ya Mkoa wa Mara alfajiri alipokuwa akipata matibabu.
Kayombo the Dr. alikuwa maarufu sana pale alipoimbwa na mwanamziki Bestnaso!
Kesho mwili utasafirishwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.