Recent content by Musee

  1. M

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu kuhusu maendeleo ya jiji la Mbeya

    Kijiji < Mji < Jiji!
  2. M

    JamiiForums Tanzania Salum Mwalim kupitia CHADEMA amuwekea pingamizi mgombea wa CCM Kinondoni

    Ni vigumu kulifanya pingamizi la kisheria, lakini hilo laweza kuwa pingamizi la Wananchi. Bila kujali mipaka ya kiitikadi ni muhimu sana wananchi waseme, wazi kabisa na kwa msisitizo wenye kishindo, kuwa mbunge akishachaguliwa anakuwa mbunge wa watu na siyo wa nafsi yake wala chama cha siasa...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Vyombo Vya Habari Vya Tanzania, Havina Uwezo wa Uchambuzi wa Habari, News Analysis-Jicho Letu

    Mimi ni mpenzi mkubwa wa kipindi hiki. Nimefuatilia sana uchambuzi wa Mansoor, ni uchambuzi wa kisomi usiolenga kujipendekeza popote. Nampongeza sana Bw. Mansoor, namhimiza kusimama imara zaidi na nadhani kwa kiwango chake cha uelewa wa mambo atafika mbali. Maoni kwa Bw. Moses, ni vizuri...
Back
Top Bottom