Mandela alikua anajitambua zaidi kwa sababu white people na black people wanategemeana katika maisha ya dunia ya leo ndo maana aliona mbali zaidi kuliko Malema kwa sababu kuna watu weusi ni wabaya kuliko makaburu jiulize watu weusi leo SA wanachoma maduka na kuwafukuza watu weusi South Africa...
Naipenda sana c.c.m ila s kwa sababu Rais wangu n din yangu nachukia sana udin nanawachukia wote wanao eneza udun hii zambi inayo anza kujengwa taratibu kwa malengo yaubnafs italeta mazala kama ilivyo tokea Rwanda na Burund wanao jenga mazngla cdm kionekane kama n chama cha ukabla wawe wanatoka...
Mbona mbatia mrema n wachaga na niwenyevt inakuaje cdm tu nais niajenda ya kuivunja cdm nguvu leo ukiangalia mkoa wa kigoma wambunge wanne n kutoka n. Mageuz apo tutasema nchama cha kigoma kama kwel cdm n chama cha ukabla mbona wabunge watano wa ccm wanatoka kirimanjaro na 1 wa tlp n 3 tu kutoka cdm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.