Lets be serious!!Hakuna anayeweza kumshitaki Yona wala Mramba, Serikali ina wenyewe na wenyewe ndio hao tuliowataja. Sasa ndugu zangu watawezaje kumshitaki waziri aliyetumwa na Rais bila ya kumshitaki Rais mwenyewe? Mkapa will never have a day in court, and so is yona and Mramba. Beside J.K made...
I can't say much kwasababu kama mtu anaweza kutumia dawa za milioni mbili basi huo si ugonjwa bali gonjwa. Lakini wazawa tusishangae ndio ukubwa maana naona hizo dawa anazotumia spika wetu mtukufu ni "Dawa Spesheli" ambazo wakubwa wanatumia maana sisi wengine tunatumia "generic drugs" za india...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.