Recent content by Mundu au Beto

  1. Mundu au Beto

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Mwanapole alimfinya yule mke wake sio poa mpaka mke akasema ninapopatikana wakati huo huo akanisanua na mimi nikabidi niache kazi mara moja kwa taarifa ya mdomo na kurudi zangu Dar. Kusakwa na wanapolo tena ambao hawana hela ni bora usakwe na JWTZ... Alooo sijarudi Arusha mpaka leo
  2. Mundu au Beto

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Twende na hii chap chap kabla watu wa UKIMWI hawajaja Mwaka 2019 nimetoka zangu Dar baada ya msoto wa kimaisha tangu nimalize chuo hakuna ajira. Basi nimerudi home nimekaa miezi miwili hivi akaja shangazi yangu wa Mbauda, katika stori za hapa na pale akaniambia kuna watu wamikopo wanaajiri...
Back
Top Bottom