Habari ndugu zangu naomba mwl yeyote kutoka Morogoro au Dodoma shule ya msingi ahamie IKIZU A Sm ipo mkoa wa Mara wilaya ya BUNDA nitafurahi kama utapatikana tuwasiliane
Sio kila kitu naweza ongea hapa mkuu that's why kuna namba kwa ajili ya kukuelekeza ofisi kulingana na eneo uliko, ukiwa na uhitaji utapatiwa huduma ofisini zilizokaribu nawe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu taasisi yetu ni very open tena unajaza mkataba ambao unaweza kuutumia kisheria endapo kampuni ikienda tofauti....by the way haijawai kutokea
Sent using Jamii Forums mobile app
Salary slip
Passport size 1
Bank statement ya 3 month current
Copy ya job ID
Copy ya ATM card
Thou kwa maelezo tumia hizo namba hapo juu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes ni watumishi wa Umma/serkali tu mkuu na mashirika ya serkali pia kama Takukuru, Sumatra, Tanroad, Mamlaka za maji, umeme n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kusema sisi ni maadui wakati watu wanapata pesa kwa ajili ya matumizi mbalimbali mwingine kwa ajili ya masomo,Ada za watoto, biashara na matibabu hawa wote shida zao ziliisha kwa kupata mikopo ya haraka kwetu...labda sio platinum credit ltd
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitaka kukopa kopa sehemu salama kama platinum credit LTD, ambako tunatoza riba za mwezi na tunampa mteja Uhuru wa kulipa deni lote hata baada ya mwezi mmoja wa makato, lakini pia mikopo yetu kama mteja akifukuzwa kazi ama akifariki hata kama amekopa milioni 10 mkataba wetu na yeye unaishia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.