Recent content by MULODION

  1. M

    KERO Mchakato wa Utarajari (Internship) Serikalini ni kilio kisichosikika. Watu wanasubiri posho kwa miezi 2 hadi 3 ya mwanzo

    Vijana wanaofanya utarajali (internship) huugulia maumivu makali kila mwaka baada ya kulazimika kufanya kazi kila siku kwa miezi miwili hadi mitatu wakiwa mikoani bila kupokea posho zao, Lni utawekwa utaratibu wa kupunguza hii adha kwa vijana hawa?
  2. M

    KERO Wanafunzi UDOM tunalipia gharama ya hosteli lakini ukikamilisha usajili unaambiwa vyumba vimejaa, tunalazimika kubebana

    Vipi kuhusu zile overpayment ambazo wanafunzi wanadai, wahitimu walio andika barua toka mwaka Jana mwezi wa saba hadi Leo hwajapokea hata mia, wala hakuna mrejesho,, Na mfumo una miezi miwili hauoneshi hata matokeo unasema uko under maintainance for one week toka November mwaka Jana, Na hawasemi...
Back
Top Bottom