Hapa ndipo katia msumari wa moto kunako kidonda kibichi huyu, kama gwajima kumtolea tu mfano abdul kulimgharimu makanisaye kufungwa nchi nzima kielelezo cha kuujua uchungu wa mwana lakini leo anawakebehi aliowaulia vijana wao! Ngoja tuone yajayo.
Kweli hotuba matata sana inaongelea namna ya kugombania mwanamke mzuri na namna ya kumnyima uchi mume kama ameondaka amekosea! Kibibi na umri wote hule bado kinawaza mambo ya chupichupi katikati ya kipindi kizito cha mtafaruku wa nchi! Walaih hotuba mulua kabisa hii.
Mbaya zaidi kaenda kugonga mlango ulioandikwa no entry kwa kuikebei TEC! Kwa maana nyingine katangaza vita rasmi na dini ikiwa ni nyongeza katika zigo lake la mauaji! Ngoja tuone kifuatacho.
"Ikiwa uchaguzi utakuwa huru na haki, ccm ijiandae kutoka madarakani" By: H. PolePole.
Kwa mantiki hii NRNE ni muhimu sana ndipo haya uliyoyaandika yapate kutimia.
Ccm weka mazingira sahihi yaliyo huru na wazi katika uchaguzi, hizi sheria zilizowekwa na serikali yenu kamwe hazitoi haki ya kuchaguliwa mtu aliye nje ya ccm! Hofu yenu kutoka madarakani inaligharimu taifa acheni udikteita!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.