Recent content by Mulama

  1. Mulama

    Dar: Mlinzi wa Kanisa anayetuhumiwa kumlawiti Mtoto Muimba kwaya kwenye vyoo vya Parokia apandishwa kizimbani

    Kuna mashaka makubwa kwenye shauri hili mbona hatuoni ripoti ya DNA kuonesha kwamba hizo sphincter muscles za huyo mwanafunzi zimetanuliwa na mlinzi baraka?! What if huyo mwanafunzi anayedaiwa kutokuwa na uwezo wa kujieleza vizuri huwa analiwa siku zote tukizingatia kuwa tabia hiyo imekuwa...
  2. Mulama

    Mwenyekiti CCM Arusha: Unachagua upinzani kisha unataka uletewe huduma ya maji?

    Mbona alipingana na zile 4Rs za mwenyekiti wake taifa huy!
  3. Mulama

    Issue ya 3D number plates kukatazwa imekaaje?

    Huo ni uzembe wao wasiwabebeshe wenye plate nos za 3D!
  4. Mulama

    Mke wangu mtarajiwa hataki mtoto wake aliyempata kabla hatujakutana atumie ubini wangu

    Wengi wenu msioelewa hoja ya huyu ndugu mtakuwa hamjui nini maana ya kulea mtoto, mtoto ni gharama mtoto ni dhamana mtoto ni changamoto, haiwezekani ubebe majukumu ya kumfanya mtoto awe mtu duniani bila hata ka complementary ka kuacknowledge mchango huo eti kisa mbegu si zako! Kama ana mbegu...
  5. Mulama

    Ruvuma: Polisi yasema Muinjilisti aliyezuia Watoto kwenda shule bado anashikiliwa na hajapigwa na Askari

    Kwanini hamkutumia jamiicheck kuhakiki majibu ya rpc mnaamini haraka alichosema?! Maxence wewe umeonja shuruba za hawa jamaa wanawezaje kukuaminisha kirahisi hivyo kwamba hawajampa kisago na mshiko wanautaka?! Polisi Tanzania hawajawahi kuwa wazuri hata siku moja si dawati wala cro wote...
  6. Mulama

    Mkuu wa Majeshi: Baadhi ya Wakimbizi wamepewa teuzi Serikalini katika nafasi zenye maamuzi

    Na hili onyo la utayari wa jeshi kwa ajili ya uchaguzi ujao imekaaje hii?!
  7. Mulama

    Mitandao ya mawasiliano ya simu mnapopunguza dakika vifurushi vyenu toeni taarifa pia

    Mimi nasikitika jinsi wanavyokata muda wa maongezi bila sababu na wanakata pesa nyingi mnoo! Voda wamenikata elfu 5 nzimaa sijui kwanini tigo wamekata elfu 1 huduma ya kuongea na mhudumu wameondoa najibiwa na computer pre-recorded msg baasi! Kama kuna anayeweza kunielekeza wanakoshitakiwa hawa...
  8. Mulama

    Wakili LHRC: Hakuna Mwanamke anayeweza kumbaka Mwanaume

    Hii sheria ilitungwa na kupitishwa kwa mihemko kama ilivyo sheria ya hifadhi ya wanyama pori, hakukuwa na utafiti wala ushirikishaji wadau ilipelekwa pelekwa tu kishabiki na kisiasa kipindi hicho mkutano wa Beijing umemalizika muda si mrefu. Hata ukiangalia sitation na interpretation yake...
  9. Mulama

    Viongozi wa kampuni ya Prezzdar washtakiwa kwa ubadhilifu na uchepushaji

    Mleta taarifa za mahakamani hututendei haki kwakweli! Taarifa zako ni fupi mno ndio maana kuna watu wanajadili makabila badala ya content! Jitahidi kuboresha tafadhali.
  10. Mulama

    DAR: Afisa Afya Buguruni ashtakiwa kwa Ubadhirifu wa Tsh. Milioni 62

    Hii habari haijakaa kama lengo ni kuhabarisha mwandishi aanze upya. Inawezekanaje bwana afya ale pesa zote hizo kazitoa wapi? Kazi yake kukagua vyoo, malundo ya taka mitaro ya maji machafu, kukagua vibiashara vidogovidogo kama mama lishe, vilabu vya pombe na viguest house. Katika haya...
  11. Mulama

    Bei za Mafuta ya Petroli na dizeli zashuka chini

    Sijaona uhusika wa rais hasa baada ya kubainishiwa factor za kupandisha na kushusha ni soko/ bei za huko nje! Mbili ni kwakuwa hatuna visima vya mafuta lakini tuna vya gas asilia, kwanini tusiweke kipaumbele kwenye matumizi ya tulicho nacho tukaachana namafuta tusiokuwa nayo? Tatu twawezaje...
  12. Mulama

    Jirani yangu anatoka nje akiwa kavaa boksa tu (nguo ya ndani )

    Wewe boxer ya mwanaume mwenzio waitakiani?! Ni Tanzania tu ambapo watu hujadili mavazi ya watu!
  13. Mulama

    Dar: Wahalifu wadaiwa kutumia jina la ‘Ulinzi Shirikishi’ kufanya uhalifu maeneo ya Tanganyika Packers

    Yote ni miradi ya polisi haohao usidhani hata huyo ijp hajui kinachoendelea eneo hilo! Tanzania bila polisi hakuna uhalifu! Siku wakiachwa kutumiwa kisiasa watarudi kwenye mstari na kutenda kazi yao kwa weledi sio kwa sasa ambapo hawatosheki na mishahara na posho nyingi wanazolipwa na...
Back
Top Bottom