Kuna mashaka makubwa kwenye shauri hili mbona hatuoni ripoti ya DNA kuonesha kwamba hizo sphincter muscles za huyo mwanafunzi zimetanuliwa na mlinzi baraka?! What if huyo mwanafunzi anayedaiwa kutokuwa na uwezo wa kujieleza vizuri huwa analiwa siku zote tukizingatia kuwa tabia hiyo imekuwa...
Wengi wenu msioelewa hoja ya huyu ndugu mtakuwa hamjui nini maana ya kulea mtoto, mtoto ni gharama mtoto ni dhamana mtoto ni changamoto, haiwezekani ubebe majukumu ya kumfanya mtoto awe mtu duniani bila hata ka complementary ka kuacknowledge mchango huo eti kisa mbegu si zako! Kama ana mbegu...
Kwanini hamkutumia jamiicheck kuhakiki majibu ya rpc mnaamini haraka alichosema?! Maxence wewe umeonja shuruba za hawa jamaa wanawezaje kukuaminisha kirahisi hivyo kwamba hawajampa kisago na mshiko wanautaka?!
Polisi Tanzania hawajawahi kuwa wazuri hata siku moja si dawati wala cro wote...
Mimi nasikitika jinsi wanavyokata muda wa maongezi bila sababu na wanakata pesa nyingi mnoo! Voda wamenikata elfu 5 nzimaa sijui kwanini tigo wamekata elfu 1 huduma ya kuongea na mhudumu wameondoa najibiwa na computer pre-recorded msg baasi!
Kama kuna anayeweza kunielekeza wanakoshitakiwa hawa...
Hii sheria ilitungwa na kupitishwa kwa mihemko kama ilivyo sheria ya hifadhi ya wanyama pori, hakukuwa na utafiti wala ushirikishaji wadau ilipelekwa pelekwa tu kishabiki na kisiasa kipindi hicho mkutano wa Beijing umemalizika muda si mrefu.
Hata ukiangalia sitation na interpretation yake...
Mleta taarifa za mahakamani hututendei haki kwakweli! Taarifa zako ni fupi mno ndio maana kuna watu wanajadili makabila badala ya content! Jitahidi kuboresha tafadhali.
Hii habari haijakaa kama lengo ni kuhabarisha mwandishi aanze upya.
Inawezekanaje bwana afya ale pesa zote hizo kazitoa wapi? Kazi yake kukagua vyoo, malundo ya taka mitaro ya maji machafu, kukagua vibiashara vidogovidogo kama mama lishe, vilabu vya pombe na viguest house.
Katika haya...
Sijaona uhusika wa rais hasa baada ya kubainishiwa factor za kupandisha na kushusha ni soko/ bei za huko nje!
Mbili ni kwakuwa hatuna visima vya mafuta lakini tuna vya gas asilia, kwanini tusiweke kipaumbele kwenye matumizi ya tulicho nacho tukaachana namafuta tusiokuwa nayo?
Tatu twawezaje...
Yote ni miradi ya polisi haohao usidhani hata huyo ijp hajui kinachoendelea eneo hilo!
Tanzania bila polisi hakuna uhalifu!
Siku wakiachwa kutumiwa kisiasa watarudi kwenye mstari na kutenda kazi yao kwa weledi sio kwa sasa ambapo hawatosheki na mishahara na posho nyingi wanazolipwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.