OLE WAKO TANZANIA...
Taifa lenye vijana walio tayari kuua,
Kuua kwa ajili ya Ukuwadi na Utumwa,
Kuua kwa ajili ya kutumwa na wakubwa,
Matajiri waliogeuza nchi hii Ubwabwa.
Ole wako Tanzania unayechezea amani,
Amani iliyodumu barabarani hadi nyumbani,
Amani imekuwa ghari sasa jaribu vitani,
Kwa...