Recent content by mukeyamasaifake

  1. M

    Tiba ya ugonjwa wa Pumu ya ngozi

    Samahani, ndemwai ni nn?
  2. M

    Tiba ya ugonjwa wa Pumu ya ngozi

    Shukrani sana. Nitafanya hivyo
  3. M

    Tiba ya ugonjwa wa Pumu ya ngozi

    Habari za muda wakuu!!! Jmani naomba msaada kwa anaejua dawa ya kienyeji ya PUMU ya ngozi. Mwanangu anasumbuliwa sana nahuu ugonjwa, nimeshampeleka MUHIMBILI, EKENYWA, REGENYCY na tukapewa dawa na mafuta ya kupaka ya EPIMAX JUNIOR. Anapona kwa muda ila baadae inaanza tena. Naombeni ushauri...
Back
Top Bottom