Recent content by mukeyamasaifake

  1. M

    JamiiForums Tanzania Tiba ya ugonjwa wa Pumu ya ngozi

    Samahani, ndemwai ni nn?
  2. M

    JamiiForums Tanzania Tiba ya ugonjwa wa Pumu ya ngozi

    Shukrani sana. Nitafanya hivyo
  3. M

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Mwanangu ameuawa kwa kupigwa na Mwalimu lakini kesi inazungushwa

    Aisee pole sana... jamani inasikitisha sana.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Tiba ya ugonjwa wa Pumu ya ngozi

    Habari za muda wakuu!!! Jmani naomba msaada kwa anaejua dawa ya kienyeji ya PUMU ya ngozi. Mwanangu anasumbuliwa sana nahuu ugonjwa, nimeshampeleka MUHIMBILI, EKENYWA, REGENYCY na tukapewa dawa na mafuta ya kupaka ya EPIMAX JUNIOR. Anapona kwa muda ila baadae inaanza tena. Naombeni ushauri...
Back
Top Bottom