Habari za muda wakuu!!!
Jmani naomba msaada kwa anaejua dawa ya kienyeji ya PUMU ya ngozi.
Mwanangu anasumbuliwa sana nahuu ugonjwa, nimeshampeleka MUHIMBILI, EKENYWA, REGENYCY na tukapewa dawa na mafuta ya kupaka ya EPIMAX JUNIOR. Anapona kwa muda ila baadae inaanza tena.
Naombeni ushauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.