Recent content by mukandala

  1. M

    Kubadilisha fedha(renew) kunamaanisha kukua kwa uchumi?

    Tunashuhudia Mara nyingi tuu nchi mbalimbali ikiwemo Tanzania zikibadilisha aina ya fedha zao yaani noti to coin, coin to coin na noti kwenda noti mpya Je hii inamaanisha uchumi umepanda au umeshuka? Pia zoezi hilo linaigharimu seriKali kivipi na lina faida gan?
  2. M

    Kubadilisha fedha(renew) kunamaanisha kukua kwa uchumi?

    Tunashuhudia Mara nyingi tuu nchi mbalimbali ikiwemo Tanzania zikibadilisha aina ya fedha zao yaani noti to coin, coin to coin na noti kwenda noti mpya Je hii inamaanisha uchumi umepanda au umeshuka? Pia zoezi hilo linaigharimu seriKali kivipi na lina faida gan?
  3. M

    Ajira za uhamiaji zapelekwa JKT

    Tatizo kila kiongozi ana watu wake na nafasi ni chache hivyo kuna ndugu wa wakubwa watakosa. Wanaogopa kulipuana
  4. M

    Ajira za uhamiaji zapelekwa JKT

    Kutokana na urasimu, ubadhilifu na utapeli uliojitokeza katika mchakato wa kuajiri nguvu kazi katika idara ya uhamiaji, imebainika dhahiri kwamba hata utendaji kazi wao ungefanana moja kwa moja na yale yaliyojitokeza katika kupatikana kwao. Kamati ndogo iliyoundwa ilipendekeza mchakato wa...
  5. M

    Ajira za uhamiaji zapelekwajkt

    Kutokana na urasimu, ubadhilifu na utapeli uliojitokeza katika mchakato wa kuajiri nguvukazi katika idara ya uhamiaji, imebainika dhahiri kwamba hata utendaji kazi wao ungefanana mojakwamoja na yale yaliyojitokeza katika kupatikana kwao. Kamati ndogo iliyoundwa ilipendekeza mchakato wa ajira...
Back
Top Bottom