Yani Clip ya Ole Sendeka ionyeshe Kuwa Hali ya Demokrasia CCM ni mbaya!!!!
HALAFU MGONGANO WA MASLAHI KATI YA LOWASSA..MBOWE.. LEMA.. BAVICHA NA NINYI WA JF Kuhusu kwenda Ikulu na KUTOA MAONI YAKE HURU IONYESHE KUWA DEMOKRASIA NDANI YA CHADEMA IKO VIZUUUURIIII????
hivi Huwa Mnawaza kwa...
(1) watu wameelimika?????
We ndiye mmoja wa watu wanaoamini kuwa ccm haijafanya kitu Nchi Hii tangu Tupate uhuru... wameharibu Elimu kabisa
Wameelimikaje kwa mtazamo wako??
(2) Kwamba watu Wameelimika!!!!
Wametapeliwaje na CCM huku Wana Elimu????
Hujioni kwamba wewe ndiye mtoto wa juzi...
Duuuuh!!!!!
Umesahau au kwa kuwa bado ni asubuhi hujanawa uso????
Watu million Mbili walikuwa wa Dr W Slaa.... Alipoondoka NUSU ya hao walikata tamaa
Watu Million nne walikuja na LOWASSA.... Atakapoondoka YEYE HUONDOKA NAO MAANA WAO NI ALIPO TUPO!!!!!
kwa hiyo Mahesabu sahihi ya Chama ni...
Usichofahamu Mwanahabari huuuruu(siyo huru) ni kwamba mambo yanayohusu MAENDELEO YA NCHI NA MIPANGO MUHIMU haushirikishwi haraka na Chama
Wewe umepewa jukumu la Kupinga.. kukosoa na kuchafua Serikali ndo Maana Taarifa zenye mlengo huo unashirikishwa haraka na Chama
Ndiyo Maana Taarifa hii...
(1) Huwez kujificha UWANJANI na useme huonekani Wakati uko UCHI.. Hoja zako zinathibitisha wewe ni NANI.. upinzani na huwez mdanganya YEYOTE mwenye IQ
(2) Bunge Halitoi Pesa yoyote ya kumpeleka mgonjwa Nje ya Nchi Bali serikali
Ndo Maana hata safari zao Za seminar Zilipigwa Panga na wakatii...
(1) Ninawaambia wauze AU WAO NDO WALIJITANGAZA KUUZA???? (refer Lema)
Kwa sasa tunawakumbusha soko liliko.. Ni hapohapo NAIROBI walikokuwa
(2) Magufuli alipelekwa Ujeruman na Serikali.. Yaani anajua umuhimu wa Taratibu zilizokwisha kuwekwa hivyo alizifuata
Huo msukule wenu Kama nao ungefuata...
nilijua MTABADILI GIA ANGANI TU KAMA KAWAIDA YENU
hivi ni NANI asiyejua UAMZI wa Serikali kumuhusu Lissu Ilikuwa apelekwe Mhimbili????
Hivi mnajisahaulisha mlivyojishebedua kwa mbwembwe kwenda Nairobi kwa madai mna uwezo na pia ndiko sehemu ambayo mgonjwa wenu atakuwa Salama zaidi KINYUME...
We have been given a free moral agency!!!!
Kama NENO LA MUNGU linasema mfuate..Halafu wewe unaona ni kumfuata fuata makwao!!!!
Bado una hiari ya kuchagua..Kutii Neno au la!!!!
Uzuri Mungu halazimishi Kuaminiwa bali ni hiari yako Umuamini au usimuamini
NA KUMUAMINI MUNGU NI KUTII NENO LAKE MAANA...
Angejiuliza hivi huyo Cannabis
NANI ALITAKIWA KUMFUATA MWENZAKE KATI YA KAKOBE NA RAIS MAGUFULI????
Kakobe anafahamu Biblia..anajua taratibu za kumuonya mtu zikoje
Biblia inasema..UKIMUONA NDUGUYO ANAFANYA DHAMBI AU KOSA BASI MWENDEE MUONGEE WEWE NA YEYE PEKE YENU..AKIKUSIKIA UMEMPATA...
Mtu kumuita mwenzake Pumbavu wakati huo hajui kesho ataamka ama la ni kiwango kilekile alichoambiwa tajiri na Bwana Yesu baada ya majivuno na kiburi kuwa" hujui kesho utakufa"????
Maana yake ni kwamba Tengeneza sasa maana huijui kesho yako
Hoja ni kwamba kama wewe unataka kuonyesha hisia na...
Hisia inahesabika kwako ww kutumia lugha kali...za kuudhi na kashfa!!!!
Lkn kwa hao CCM walichotenda kwako ni ukichaa....upuuzi.... kukosa akili...na hivyo kwao siyo Hisia
HUKO NI KUDAI HATI MILIKI YA MAWAZO..MATENDO NA UHURU WA MTU KUAMUA CHA KUFANYA!!!!!
Shame on you
Mimi na ww nafikir hatutofautiani sana
Ila Tramadol kama kuna UNYANYASAJI WA AINA YOYOTE ILE NI KINYUME NA MAADILI YA KAZI YAKE..
Nini cha kufanya sasa????
Msiogope chukueni hatua ili haki yenu itendeke!!!!!
Shida ninayoiona ni kwamba MNAKOSA UJASIRI WA KUMSHITAKI KUHUSU UNYANYASAJI HUO...
Asante kwa kunisikia
Ila tambua kuwa
Kinachokufanya useme ananyanyasa Wafanya biashara ni kwa sababu ya KUSIMAMIA SHERIA
Kama angekuwa hafanyi hivyo ungesema huyu ni Mzuri
Unaposema ni Mzuri Serikali na taratibu za kazi yake zinamwambia ni MZEMBE
Ndo maana nakushauri kuwa TIINI SHERIA BILA...
Sorry sexless
Niambie Mkataba wowote ambao unaona katiba mpya ingekuwepo ungekuwa bora!!!!!! Sheria nafikiri ndiyo msingi
Katiba ni widely mnooo kudeal na mkataba mmoja mmoja
Si zaidi saaana ya mtu asemaye tupate Katiba Mpya ili tuiondoe CCM madarakani
As if
(1) Katiba mpya itai exclude CCM na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.