Kinadharia ni sahihi lakini ki vitendo ni sahii. Ni ukaidi wetu tu hatutaki kuuona ukweli kama DED ni MuCCM na hata kuwa CUF wala CHadema Nani anbisha hilo?
Wakipewa mapesa ya kujengea mahekaru na magari ya kifahari na kusomeshewa watoto wao huko, hata binaadamu tutapakiwa bila ridhaa yetu tupelekwe huko walikokwenda wanyama wetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.