Recent content by muhibu said

  1. M

    KERO Kivuko Kigamboni ni changamoto kubwa

    Kimekuwa changamoto kivipi?
  2. M

    Inashangaza pale ambapo Profesa Assad anapozungumzia kuhusu kuondolewa kwake kinyume cha katiba, watu wengine wanasema eti akubali matokeo

    Kwa kigezo gani ni mdini? Mbona kwenye kudai kwake stahiki zake, hatujaona akitumia aya yoyote ile ya Qur'an zaidi ya vifungu vya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
  3. M

    PreGE2025 Lissu athibitisha kuandika barua ya kugombea Urais, asema CCM wameweka fedha katika Akaunti yake, tatizo liko wapi?

    Kichwa cha habari cha huu uzi, kinaeleza "urais" lakini maelezo ya ndani yanasema "makamu wa Rais CHADEMA"!
  4. M

    DOKEZO BANK ya ABC inadaiwa kutapeli Walimu

    Mkuu, hii inahusianaje na madai ya mtuma Uzi?
  5. M

    DOKEZO BANK ya ABC inadaiwa kutapeli Walimu

    Walimu wa wapi hawa? Ushahidi unaweza kupatikana walau?
  6. M

    DOKEZO BANK ya ABC inadaiwa kutapeli Walimu

    Ni walimu wa wapi hawa? Uhsahidi unaweza kupatikana walau?
  7. M

    Zitto amemtuma ofisa wake kuisemea CHADEMA kuhusu Lowassa

    ACT na CHADEMA kuweni wakweli!
Back
Top Bottom