Mimi nikijana wa miaka 24 natafuta kazi ya ufundi wa magari katika kampuni na watu binafsi na pia nimepitia mafunzo ya veta nanauwezo kundesha gari na leseni yangu daraja E kwa mwenye uhitaji ni PM tuzungumze napo dar
Mimi kijana wa miaka 23 npo dar es salam
Natafuta kazi ya udereva mwenye uhitaji niko
Nina ujuzi wa ufundi magari wa miaka 3
Madaraja yangu A A2 B D E
Nina elimu ya kidato cha nne nipia nimesomea mafunzo ya veta ufndi magari nikasoma basic driving veta .
Mimi kijana wa miaka 23 npo dar es salam
Natafuta kazi ya udereva mwenye uhitaji niko
Nina ujuzi wa ufundi magari wa miaka 3
Madaraja yangu A A2 B D E
Nina elimu ya kidato cha nne nipia nimesomea mafunzo ya veta ufndi magari nikasoma basic driving veta .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.