Recent content by Muhajeria

  1. M

    Diamond akipaka wanja!

    Hata haipendezi na haifurahishi.
  2. M

    CHADEMA kusambaratika ndani ya mwaka mmoja ujao - Wassira

    CHADEMA haijapinga mazuri yenu mfano ujenzi wa mabarabara,ila wanapinga maswala kama ya mkuu wa wilaya kutembea na X-RAY mbili kwa maana ya thamani ya lile gari.Bado DAS Mkurugenzi,huko mikoani ndiyo balaa,mengine ni kukingingia kifua wavunja nchi Richmond,Radar,EPA,kina Ekerege wa TBS na...
Back
Top Bottom