CHADEMA haijapinga mazuri yenu mfano ujenzi wa mabarabara,ila wanapinga maswala kama ya mkuu wa wilaya kutembea na X-RAY mbili kwa maana ya thamani ya lile gari.Bado DAS Mkurugenzi,huko mikoani ndiyo balaa,mengine ni kukingingia kifua wavunja nchi Richmond,Radar,EPA,kina Ekerege wa TBS na...