Ngafu umenena, sana kuna watu humo kwenye Halmashauri walishajifanya Miungu watu. Sasa hivi wanahaha mno! Wapishe vijana wasomi na waadilifu wachukue kazi.
Wewe Pasco enzi za ujinga zimekwisha, hakuna cha TUME wala kuitwa chumbani, Sasa hii ndiyo Slogan ya Mkapa. Yaani Mkapa alianzisha hiyo theory "Zama za Uwazi na Ukweli" Makufuli na Majaliwa wanaimplement practically. Nimebahatika kuishi nchi za Uropa miaka 3 tu. Kwangu ilikuwa somo tosha sana...
NAOMBA USOME KWA UMAKINI NA JUA CHA KUFANYA:Haya ndio mambo ninayoyafahamu kuhusu TANZANIA
1. Tz ilipata uhuru mwaka 1961 ina miaka 54 tangu ipate uhuru ikiwa ni ya kwanza Afrika Mashariki.
2. Tz Kwa miaka 38 hii inchi imeongozwa na ccm peke yake ambayo ni zao TANU na ASP.
3. Tz ni nchi...
Mimi ukweli, niliouona ni CCM hawakushiriki Mdahalo wa mwaka 2010, Kwasababu ambazo hajazisema, anasema hii ni ccm mpya, mbona mnaimba ccm ilele na watu ni walele wale? Hebu nendeni mkaipangange ccm mpya kwa miaka 5 kwanza halafu tutawaangalia kama kweli imekuwa mpya. Peoplezzzzzzz!
Kichwa cha habari kiko vizuri, sana hiyo ni technics upande wa pili ndiyo wanApenda sana kusikia hizo habari mbovu, iliwapate mahali pa kubeza, sasa wewe unawapiga cheza
La macho, wakifungua tu hiyo habari wanakutana na mafuriko ya mabadiriko. Mpaka
Wanasikia kichefuchefu, zikiwa habari nzuri za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.