Recent content by Mugombaa

  1. M

    Waziri Ummy, Kitengo cha Magonjwa ya Akili Hospitali ya Taifa Muhimbili dawa zinauzwa bei ghali kulinganisha na maeneo mengine

    Zamani hzi dawa zilikua zinatolewa bure, lakini Cha kushangaza watu wa methadone(wale wanaotumia madawa ya kulevya ndio wanatibiwa bure). Wengonjwa wengine wanalipa. Serikali Angalieni hili.Wengine hatuna uwezo wa kukata Bima
  2. M

    Waziri Ummy, Kitengo cha Magonjwa ya Akili Hospitali ya Taifa Muhimbili dawa zinauzwa bei ghali kulinganisha na maeneo mengine

    Hospitali ya Taifa Muhimbili Upanga. Kitengo cha magonjwa ya akili wanauzia wagonjwa dawa kwa Bei ya juu sana Nina mgonjwa wangu huwa nampeleka kuchua dawa hapo, mwezi uliopita nilinunua dawa kwa shilingi 11,000 juzi nilienda mhimbili naambiwa dawa 54,000, na ni dawa hizo yaani carbamazipine...
Back
Top Bottom