Kasimu kwani ukitoa majina leo watu wajue wamepangiwa wapi kuna tatizo gani?
Kila mara unatangaza ajira majina hatuyaoni!
Siamini pia mwez huu kama usemacho ni kweli.
Hongera sana,tambua kupata kazi ni bahati kubwa sana na usinikebehi kwa kuwa mshahara wko mkubwa kwangu,
Wapo wanao lipwa zaidi ya milion tena unawazidi elimu so usitambe sana bwana mdogo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.