kutiana wanawake wapo tu hata ukitoka hapo nje unakutana nao
watoto ni matokeo ya kutiana
kufarijiana ninao washkaj ndugu bmkubwa pia yupo so sina shida hapo
kuish ukimaanisha kila siku yupo tu ndan au anakuja na kusepa...?!
same na kuku na wanyama wengne wanazaa tu then wanaacha watoto walelewe na mama zao
and ukasema ndoa ni majukumu pia [emoji848] sasa kama nitaoa na kuzaa kama kuku heshima na huo utash unao sema uko wap hapo...?!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.