Recent content by Muchaa

  1. Muchaa

    Nafasi ya kazi Sales & office admin

    Company ina products nyingi zinazo husiana na ICT...
  2. Muchaa

    Nafasi ya kazi Sales & office admin

    Kwa mawasiliano piga 0687222251
  3. Muchaa

    Nafasi ya kazi Sales & office admin

    Anahitajika kijana mkazi wa Babati Qualification.. 1. Degree/Diploma in business or any related field 2. Awe mkazi wa Babati 3. Awe na uwezo wakusafiri kupita katika wilaya zilizopo Mkoa wa Manyara..... Mawasiliano piga 0687222251
  4. Muchaa

    Fahamu namna ya kutoa risiti za efd bila ya kutumia mashine ya efd kama ilivyo kawaida..

    Kwa sasa kutokana na maendeleo ya technology basi biashara nyingi zinafanyika kiurahisi zaidi tofauti na mwanzo. Wafanya biashara wengi wanatumia mifumo mbalimbali kuendesha biashara zao kwamfano mfumo wa mauzo (POS) hii imewarahisishia sana wafanya biashara kwani wanauwezo wa kumanage biashara...
  5. Muchaa

    Wapi nitapata soko zuri la maziwa Tanzania?

    Tumesha fanikisha kuwa na kiwanda kidogo nakimesha kaguliwa na watu wa viwango sasa tuna tengeneza packed cultured milk , yoghurt pamoja na fresh milk kilicho baki ni kupata tu soko la uhakika..
  6. Muchaa

    Wapi nitapata soko zuri la maziwa Tanzania?

    Nashukuru mkuu nifwatilia hili soko..
  7. Muchaa

    Wapi nitapata soko zuri la maziwa Tanzania?

    Hapana...[emoji846]
  8. Muchaa

    Wapi nitapata soko zuri la maziwa Tanzania?

    Namba zipo active boss Lakini pia tunaweza kuwasiliana kwa namba hii 0714134886
  9. Muchaa

    Wapi nitapata soko zuri la maziwa Tanzania?

    Napatikana Dar es Salam ninauwezo wakuzalisha hadi 2000ltrs mtindi yoghurt pamoja na maziwa fresh..
  10. Muchaa

    Wapi nitapata soko zuri la maziwa Tanzania?

    Maziwa ninayo zalisha ni ya n'gombe mkuu
  11. Muchaa

    Wapi nitapata soko zuri la maziwa Tanzania?

    Kwa Siku ninauwezo wakuzalisha hadi lita 2000 za Mtindi pamoja na yoghurt pia ukihitaji fresh milk yanapatikana..
  12. Muchaa

    Wapi nitapata soko zuri la maziwa Tanzania?

    Samahani kwa kuandika Tangazo ambalo halijajitosheleza ila ningependa kujua kama kunasehem unahitaji maelezo zaidi
  13. Muchaa

    Wapi nitapata soko zuri la maziwa Tanzania?

    Ya n'gombe mkuu..
  14. Muchaa

    Wapi nitapata soko zuri la maziwa Tanzania?

    Samahani sana kwakuchelewa Kujibu. Ila ninamaanisha maziwa ya ngombe yakiwa kama Mtindi, yogurt, na Fresh..
  15. Muchaa

    Wapi nitapata soko zuri la maziwa Tanzania?

    Wakuu habari zenu , naomba msaada wenu juu ya suala zima la soko la maziwa nchini Tanzania na hata nje ya mipaka ya Tanzania kwa mwenye details zozote zinazoweza kuwa msaada kwangu tafadhali tusaidiane.
Back
Top Bottom