Hawa wapinzani wangejua wanatetea mbuzi wangeamua kuachana na hivi vyama vya upinzani tu. Watanzania wengi ni watu wanafiki na wasio na akili kabisa.
Ili kuthibitisha hili tusubiri hiyo tarehe 29 Oktoba. Watu wangekuwa wako serious hata sasa wangesha react.
Hata gap la stahiki ni chanzo kingine. Bosi wako analipwa 5M, pesa ya nyumba, usafiri, fenicha, mawasiliano etc. Mtumishi wa kawaida anaweza kuwa analipwa 1M, hapo ndiyo ajikimu kwa kila kitu. Haiwezekani kupata watu smart katika mazingira haya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.