Recent content by mtwe mabega

  1. M

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya Msiba wa Spika Mstaafu Kongwa: Haijulikani ana wake na watoto wangapi?

    Kweli atashinda, mara kadhaa Huwa najiuliza mbona changamoto hizi za mirathi hatuzikii sana kwenye famili zenye asili za kiarabu na wahindi? Au kwa vile ni wachache sana kati jamii yetu hii ya kitanzania? Maana hiki sasa chanzo Cha familia kutengana, na kufilisika. Sijua nana alianzisha hii...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Ziara ya watoto wa mjini yamnyamazisha RC mbabe

    Mbona kama una radha ya ukabila kama si ukanda, ? Ina maana huko mjini kwenu washamba ni simiyu kweli. Hongera
  3. M

    JamiiForums Tanzania Video aliyorusha Miss World kuhusu hali ya umaskini Tanzania; Mama Salma na wenza wa viongozi wa Tanzania bado wanaona ni sahihi kulipwa mabilioni?

    Ubinafsi ndio sababu kubwa inayowapofusha macho viongozi na watunga sera wetu. Hali inapelekea hadi ajira kutoangali uwezo katika kazi bali u nani wa nani.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Fupa la umeme kumchafua Dotto Biteko?

    Yaani kwako kiingereza ndo uongozi? Mbona unajumisha walimu wote wa primary, basi upewe wewe mwana Sheria ambaye hukusoma hiyo primary. Yaani aliyefanya ukajua kusoma hicho kiingereza yeye hakijui duh! au ndo sifa za uchawa ?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Walimu wahamishwa wilaya kisa CHAKUWAHATA

    Wakitumia fursa ya kuhamishwa itakuwa njema kwa chakuhawata, kwani walikotoka wameshapanda mbegu, wanakokwenda wataongeza mbegu, hivyo wapenzi wa chakuhawata wategemee ongezeko la wanachama. Shime washeni moto na huko ili mhamishwe tena.
Back
Top Bottom