Imeshakuwa kawaida kumshambulia mtu anayekwenda kinyume na utaratibu wetu wa kila siku.
Mikopo isiyokuwa katika mipango waliopinga, mijitu yoote iliwageukia wakasahau umeme unakatika, pembejeo bei juu.
Leo huyu kasema kidogo tu, watu wote midomo juu na kumtaka ajiuzulu, badala ya kujadili...