Recent content by Mtuyabantu

  1. M

    Askofu Gwajima: Mbunge smart kuwahi kutokea katika Bunge la Tanzania

    Gwajima anajitoshereza ahitaji kutegemezwa ,safi sana Gwajima.
  2. M

    GE2020 Dkt. Magufuli: Gwajima anachukiwa sana kwa sababu ni mkweli sana. Je, ukweli wake ni upi?

    Moja wapo ni kuwatia moyo kipindi cha Corona wakati nyie mnavaa balakoa yeye anapita kila Media akiwaambia akuna ugonjwa unaitwa Corona, nikuulize je upo Tz.
  3. M

    GE2020 Kawe ina heshima tayari, inahitaji maendeleo

    Pole sana dini zote zilimkuta mwanadamu kwa hiyo sioni sababu ya Gwajima kutokuwa mbunge kawe ,ngoja tusubiri tarehe 28 itazungumuza yenyewe.
  4. M

    GE2020 Halima Mdee, fedha za mfuko wa jimbo umepeleka wapi?

    Unajua ukifikisha umri wa kuolewa na ujaolewa lazima akili icheze kidogo kwa halima dishi limeyumba ni mwendo wa chenga chenga tu.
  5. M

    GE2020 Gwajima: Aliwatusi Kardinali Pengo, Waislamu, CCM, Makonda, leo yupo jukwaani

    Yaani mwaka huu kazi mno ,na ukiona mtu anaongea negative kuhusu wewe ujue anakukubali sana ..maana leo mmempaisha Gwajima kinomanoma kazi mnayo
  6. M

    GE2020 GWAJIMA: Mgombea wa CCM anayeumiza vichwa vya Wapinzani

    Hakuna binti ambae apendi mwanaume ambae yupo Fiti kwa kazi ile ya mke na mme wewe ukoje jombaaaaa
  7. M

    GE2020 GWAJIMA: Mgombea wa CCM anayeumiza vichwa vya Wapinzani

    Bado siku chache sana za ubingwa ndo utajua kuwa na Wale ambao unahisi wako upade wako ndo mashabiki wake wakiimbwe twenzetu gwaji boy Bungeni.
  8. M

    GE2020 GWAJIMA: Mgombea wa CCM anayeumiza vichwa vya Wapinzani

    Tena Kura ndo kitu rahisi ni kama mtihani wa kuchagua, na sadaka kama mtihani wa kujieleza
  9. M

    GE2020 GWAJIMA: Mgombea wa CCM anayeumiza vichwa vya Wapinzani

    Wewe upo dunia hii kweli watu siku hizi wanapenda mambo hayo sasa wewe kulia nyumbani mwako bila kuwa na kitu cha kukutambulisha kwenye jamii utahishia mtandaoni
  10. M

    GE2020 GWAJIMA: Mgombea wa CCM anayeumiza vichwa vya Wapinzani

    Jamani huyu sijui yukoje Nakuibia siri ujue ata Halima mwenyewe ashajua kuwa pale ana chake ndo maana ashategeshea njia ya kutokea
  11. M

    GE2020 GWAJIMA: Mgombea wa CCM anayeumiza vichwa vya Wapinzani

    Daa zinduka nikuibie siri toka haraka kuwaza ivyo ,Gwajima ajawahi kuangushwaga na mtu wakati wowote,,mimi nshashutukia mchezo.
  12. M

    GE2020 GWAJIMA: Mgombea wa CCM anayeumiza vichwa vya Wapinzani

    Ila kwa mwaka huu Gwajima ni kiboko ya siasa Tanzania mzima, tusemage ukweli, imezizima Gwajima ni shidaaaaaa.
Back
Top Bottom