Recent content by Mtutu wa bunduki

  1. M

    GE2020 Kawe: Halima Mdee alalamikiwa kukiuka maadili ya uchaguzi kwa kutumia lugha ya matusi na kashfa

    hizi zilipendwa unafukua makaburi tupe hoja za maana hapa tukuelewe
  2. M

    GE2020 Kawe ina heshima tayari, inahitaji maendeleo

    hili haswaaaa heshima ipo na tunataka maendeleo barabara ,vituo vya afya, mashule, ambulance ndio tunataka kwa sasa
  3. M

    Gwajima Unakumbuka hii? Ngoja nawe Ukerwe utie akili

    katika maisha kuna vitu vingi uwa vinatokea na kukosea kwa mwanadamu nikawada sana maana yeye ni mtu wala sio malaika sasa wewe ukianza kushutumu na kuraumu inakuwa haina maana sana maana kama watu wameisha ongea na kupatana katika Bwana wewe hata ukisema neno lolote alita badilisha kitu. dawa...
  4. M

    GE2020 Wana Kawe kataeni mateso mengine ya miaka 5

    Watu wa kawe tumechoka ufisadi tunataka amani
  5. M

    Gwajima Unaikumbuka hii? Sasa nawe Ukikerwa utasemaje?

    Kampeni za Gwajiboy nimezikubali kiukweli ni nyumba kwa nyumba mtaa kwa mtaa anawasalimia wapiga kura wake. Kura zetu umepata mzee Baba. Wache wa upande wa pili waendelee kukereka mpaka wapasuke.
  6. M

    Gwajima Unaikumbuka hii? Sasa nawe Ukikerwa utasemaje?

    Hakuna atakaye kereka kwa taarifa yenu ndiyo kwanza anazidi kufahamika zaidi na mbaya zaidi mnampigia kampeni bila wenyewe kujijua. #Kawe ya kijani #Kawe ya Gwajima
  7. M

    Gwajima Unaikumbuka hii? Sasa nawe Ukikerwa utasemaje?

    Wakati wa kumchafua Gwajima ulishapita, kwa sasa mtakuwa mmechelewa sisi tunachojua katika jimbo letu Gwajima ndiyo tunamchagua kuwa Mbunge wetu wengine tupa kule.
  8. M

    GE2020 Halima Mdee, kwa hili utatusamehe kwa kweli...

    Licha ya kulazimishwa ametoa kijitabu chake cha utekelzaji cha uongo kabisa na akasahau kama wanaosoma ni hao wana Kawe alio wadanganya licha ya hayo alituahidi vitu vingi na hajatekelez hata kimoja mwisho wa siku katuletea kitabu chake cha uongo tukisome tena sisi wana Kawe Amesahau kama...
  9. M

    GE2020 Halima Mdee, kwa hili utatusamehe kwa kweli...

    Ww ndiyo ulikuwa unamrekodi hiyo video au umeskia kwa watu wakisema? Wana Kawe tunahitaji maendeleo hatuitaji porojo Gwajima tutamchagua tu maana tunahitaji maendeleo ya kweli.
  10. M

    GE2020 Halima Mdee, kwa hili utatusamehe kwa kweli...

    Gwajima Oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.
  11. M

    GE2020 Halima Mdee, kwa hili utatusamehe kwa kweli...

    Mdee acha kumali pesa zako kuonga watu ili wakupigie kura maana muda wako umekwisha
  12. M

    GE2020 Halima Mdee, kwa hili utatusamehe kwa kweli...

    Huyu hakufaa kabisa kuwa kiongozi huku kwenye kata ya Mbweni Mtaa wa mpiji tunapata shida ya mafuriko kipindi cha mvua (hakuna mitaro) alituahidi kutusaidia lakini baada ya kuchaguliwa hakurudi tena Halima hafai kabisa kuchaguliwa tena.
  13. M

    GE2020 Halima Mdee, kwa hili utatusamehe kwa kweli...

    [kwanaza kugombea kwenyewe ulilazimishwa alaf unataka kura mbona kama haupo serious na wananchi wa Kawe
  14. M

    GE2020 Halima Mdee, kwa hili utatusamehe kwa kweli...

    Sauti ya Zege kikowapi tamaa mbele mauti nyuma achakufanya mambo bila kuwaza mala mbili taama zako zilikufanya usitutimize yale ulio aidi kwa wanakawe sisi hatutaki kukuona maana ndani ya miaka kumi toka ulivyo sema utatatua kero ya maji machafu yanayo toka kiwandani mpaka leo alf bado unakuja...
  15. M

    GE2020 Halima Mdee, kwa hili utatusamehe kwa kweli...

    Daaah! Kumbe Halima alilazimishwa kugombea Ubunge? Aisee Viongozi wa hichi chama siyo powa kabisa bora tu wangemuacha maana amekuja kukutana na Gwajiboy ndiyo amezidi kumchanga akili.
Back
Top Bottom