Recent content by mtusafitu

  1. mtusafitu

    Mungu Yuko wapi?

    Kama ulipata habari zake kuwa yupo basi fanya bidii za kumtafuta mpaka upate kujua kuwa yupo Ibrahimu alitaka kumchinja mwanae wa pekee Isaka kwa imani tu na akafanywa kuwa Baba wa mataifa sasa kama neno lake limeletwa kwetu tulichopewa ni kuamini na kumpenda kinyume cha hapo ni hatari kubwa sana.
  2. mtusafitu

    Wazungu wanamuabudu Mungu gani mbona hawana kabisa hofu ya Mungu?

    Usalama wa binadamu kuhusu MUNGU upo kwenye kuliamini neno lake na msisitizo kuhusu kuendelea kuamini bila kukata tamaa pia upo kwanza soma biblia sana ndio ujue zaidi kuhusu yeye halafu amini sana kuhusu yeye ndio utajua kuwa yupo sababu wote waliompokea Yesu aliwapa uwezo wa kuwa wana wa MUNGU...
  3. mtusafitu

    Kwanini wafanyabiashara wanakwepa kusajili stoo zao? Taarifa zinasema wamejaza mali za magendo baada ya kuziingiza nchini isivyo halali

    Na tatizo ulielewa au unaongea bila kuwa makini na malalamiko? Watu wakitoa changamoto jaribu kufikiria hadi mtu anagoma kakutana na changamoto ngapi tatizo ni sheria za kusajili store hawajakataa kusajili.
Back
Top Bottom