Recent content by Mtu nisiyejulikana2

  1. M

    Sitaisahau Tabora

    Watanzania mnajifanya hamsadiki uchawi wakati miili yenu yote imejaa chale za waganga,90% ya wanaoponda Uzi wangu ukigagua miili yao utakuta imejaa chale Sent using Jamii Forums mobile app
  2. M

    Sitaisahau Tabora

    Hayajakukuta ndugu,ipo siku usiombe yakukute Sent using Jamii Forums mobile app
  3. M

    Sitaisahau Tabora

    Kati ya matukio ambayo sitayasahau maishani mwangu ni tukio la kuoa mwanamke mchawi mkoani Tabora ktk kijijini cha Nkinga. Mwanamke huyu mrembo ambaye tayari nina watoto naye ni mchawi hatari aliyejificha kwenye kivuli cha ulokole huku akiwa mwanakwaya wa kwaya ya Evangelical choir ktk kanisa...
Back
Top Bottom