Wanadhani wakatoliki wanapokosoa bandari wanatumia kigezo cha dini, nilitegemea na mashee nao waunge mkono maana ni jambo lililowazi au kama kupinga wapinge kwa mitazamo ya kimaslahi na sio kidini. Mashee wetu wanatudhalilisha tuonekane waislamu wote ni viande wanaropoka ropoka tu mambo
Unaposema miradi husika ni miradi ipi wakati mradi na mkataba wenyewe unahusu bandari kama ndio mradi lengwa wa makubaliano? Mwalimu wa hesabu majibu tafadhali
Haiwezekani mkataba uweke pingamizi kabla ya utekelezaji kwamba hauruhusiwi kuvunjika hata ukitokea ukiukwaji wa makubaliano au kutofikiwa malengo kusudiwa. Hii ni ishara ya wazi ya kutodhamiria kweli kufikia yale yaliyokusudiwa kama wanavyotuambia katika majukwaa.
Na kwa nature ya hawa jamaa...
23(4) inaeleza kwamba hakuna namna mkataba unaweza kuvunjwa kwa sababu yoyote ile na upande wowote ule mpaka taratibu zilizoelezwa katika article 20 zifuatwe na kuridhiwa na pande zote mbili. Articles hizi zote bado hazielezi muda wa ukomo wa makubaliano ya mkataba husika.
Kama kweli hawaipendi hio biashara, kujiuza kwa wiki moja kungetosha kupata mtaji wa kufungua hata restaurant ya kuuza chips wakapata ridhiki yao kwa halali na kuacha kazi hio, kuendelea kwao means wanapenda wanachokifanya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.