Hapa wakuu EL apewe hii nchi so katiba ikigoma kupita ana maamuzi magumu kweli wala Hana porojo binafsi na mwombea mungu kila siku apite kashuswa mpaka chini hivyo mungu kumuinua tena inawezekana
CCM wana mbinu nyingi tulijua Sita atakuwa Kati lakini ni walewale ndiye anamalizia msumari wa kuchakachua rasimu ya babu waliompa kazi nzito mwishoni wanamzalilisha wangejua mwanzo si wangemnyima pengine hakulala vizuri Leo unamkana hadharani
Pili nchi hii tunakoelekea inataka kuwa ya kifalme hivi hakuna wasomi au wanasiasa wengi kila jimbo sasahivi likiachiwa mtoto wa kigogo au kiongozi wa serikali anasimama kugombea je wasiojiweza nani atawasaidia?twende hivyo tuuuuu mungu atatuona
Kama viongozi wa Tanzania wangejua kuwa kuna kufa na hutachukua hata chembe ya shilingi wasingebishana au kuwagandamiza wana nchi kwa mamlaka yaliyo na mwisho Lema hili unafanya vema kukimbia dhambi ni bora kuliko kushiriki kaka iwe isiwe viongozi wa CCM mungu atawamaliza mwenye kwa kuwanyonya...
Ache ni mambo ya siasa kwenye maendeleo ya wana nchi wenzetu wanamipango ya miaka hamsini mbele watanzania wapo kwenye malumbano.Lowasa apewe uraisi atasaidia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.