Recent content by Mtu Asiyejulikana

  1. Mtu Asiyejulikana

    Kwenye Ndoa zenu kuna watoto wetu. Siku wengine tukicharuka tutakuja kuwadai

    Haki ya mtu haipotei hivyo vitisho havifanyi kazi kwangu
  2. Mtu Asiyejulikana

    Kwenye Ndoa zenu kuna watoto wetu. Siku wengine tukicharuka tutakuja kuwadai

    Kuwa serious hili jambo si la kunichekesha. Maana hadi nmecheka.
  3. Mtu Asiyejulikana

    Kwenye Ndoa zenu kuna watoto wetu. Siku wengine tukicharuka tutakuja kuwadai

    Hayo maneno tu ya vitisho. Mtatoweshana. Mtoto nimekubambikia mimi au mkeo? Acheni kujitishia nyau
  4. Mtu Asiyejulikana

    Kwenye Ndoa zenu kuna watoto wetu. Siku wengine tukicharuka tutakuja kuwadai

    Acha ubwege dogo. Najivunia kila kilicho changu. Ndiyo mimi ni mweupe na ninazalisha. Kama unabisha njoo hata ukiwa tasa.
  5. Mtu Asiyejulikana

    Kwenye Ndoa zenu kuna watoto wetu. Siku wengine tukicharuka tutakuja kuwadai

    Acha ujinga wewe. Ngono zembe ya konyo. Hawa wote tulikuwa tunapima kabla ya kufanya.
  6. Mtu Asiyejulikana

    Kwenye Ndoa zenu kuna watoto wetu. Siku wengine tukicharuka tutakuja kuwadai

    Hivi wala si vitisho. Mi nmeishi kwenye vitisho vya maana si kama hivi. Hiki cha mtoto.
  7. Mtu Asiyejulikana

    Kwenye Ndoa zenu kuna watoto wetu. Siku wengine tukicharuka tutakuja kuwadai

    Ntauawa kwa haki yangu? Hiyo ni haki yangu. Kama mtoto si wangu sawa. Kulea si shida. Sijasema sina uwezo. Unadhani wao hawawezi uawa pia? Kwanini mnaamini anayedai haki ndo anaweza uawa na je mdaiwa? Huo ni ujinga. Hao watoto nlifanyiwa trick wakapatikana mimba ambayo sikupanga. Sasa nawahitaji.
  8. Mtu Asiyejulikana

    Hivi ni kweli gari aina ya Nissan zinasumbua sana injini zake?

    Engines za gari nyingi za kisasa hasa hizi cc ndogo engine overhaul huwa inasumbua. Hata gearbox na mfano mzuri upo nyingi za Toyota CVT ikisumbua unavua unavalisha nyingine. Nina Nissan toka mwaka 2020 mpaka sasa nafanya service tu za kawaida. Hayo matatizo mbona siyaoni kwangu?
  9. Mtu Asiyejulikana

    Kwenye Ndoa zenu kuna watoto wetu. Siku wengine tukicharuka tutakuja kuwadai

    Nataka niwaaambie mama zao wawalete kwangu. Lakini nataka kwanza nitulie na mwanamke mmoja aje awalee.
  10. Mtu Asiyejulikana

    Kwenye Ndoa zenu kuna watoto wetu. Siku wengine tukicharuka tutakuja kuwadai

    Naongea na mama zao waanze kufanya mchakato niwape mwaka miezi sita wajiandae otherwise ntawaambia tukapime tuondoe utata nibaki na amani.
Back
Top Bottom