Ntauawa kwa haki yangu? Hiyo ni haki yangu. Kama mtoto si wangu sawa. Kulea si shida. Sijasema sina uwezo. Unadhani wao hawawezi uawa pia? Kwanini mnaamini anayedai haki ndo anaweza uawa na je mdaiwa? Huo ni ujinga. Hao watoto nlifanyiwa trick wakapatikana mimba ambayo sikupanga. Sasa nawahitaji.
Engines za gari nyingi za kisasa hasa hizi cc ndogo engine overhaul huwa inasumbua. Hata gearbox na mfano mzuri upo nyingi za Toyota CVT ikisumbua unavua unavalisha nyingine.
Nina Nissan toka mwaka 2020 mpaka sasa nafanya service tu za kawaida. Hayo matatizo mbona siyaoni kwangu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.