Recent content by Mtotofaita

  1. Mtotofaita

    Nilinusurika kufumaniwa ukweni nikimla mpenzi wangu

    Ni kweli lakini kipindi cha umri mdogo huwa hatari zaidi kwani hakuna uelewa wa baadhi ya mambo kama uzuiaji wa magonjwa ya ngono na mimba zisizotarajiwa na madhara mengi ya kibaiolojia ndiomaana hata serikali na sector za afya hupiga vita mapenzi katka umri mdogo kiongozo najua unaelewa hapo
  2. Mtotofaita

    Nilinusurika kufumaniwa ukweni nikimla mpenzi wangu

    Weka sawa hapa mkuu, ilikuwepo kivipi?
  3. Mtotofaita

    Nilinusurika kufumaniwa ukweni nikimla mpenzi wangu

    Nikweli mkuu lakini pengine kwa kidato cha nne kwa miaka ile si mapema sana kama unavyotafsiri kwani watoto wa siku hizi ata wa shule ya msingi utasikia nao wana wapenzi kwakweli ni hatari sana tuchunge vijana wetu
  4. Mtotofaita

    Nilinusurika kufumaniwa ukweni nikimla mpenzi wangu

    Kijana wa makamo mkuu 21-28
  5. Mtotofaita

    Nilinusurika kufumaniwa ukweni nikimla mpenzi wangu

    Ni kweli ila nimepamba mada tuuu
  6. Mtotofaita

    Niulize swali lolote kuhusu kumiliki michepuko mingi japo hali ngumu

    Watu wanaonekana wameacha michepuko na stori zao pia hawataki daaah kweli Hali ngumu
  7. Mtotofaita

    Namna ya kumfikisha mwanamke kileleni mapema

    Mkuu embu waeleze kuwa si lazma uwe umechanganywa punde kabla ya matumizi mbn kama siasa zimekuwa nyng kwa watoa comments
  8. Mtotofaita

    Nilinusurika kufumaniwa ukweni nikimla mpenzi wangu

    😂😂😂mkuu kwahiyo ulihitaji nikueleze kuwa nlijificha nyuma ya pazia au nliingia ndani ya pipa? Nlivyosema nliponyoka kimazabe kwa wazee wa escape plan wanaelewa kuwa kuna mbinu za kkvita hatarishi zilitumika😂
  9. Mtotofaita

    Nilinusurika kufumaniwa ukweni nikimla mpenzi wangu

    Nakumbuka ilikuwa siku ya Boxing Day miaka ya nyuma kidogo enzi hizo nikiwa sekondari kidato cha nne nilikuwa na mpenzi jirani yaani hatua chache kutoka nyumbani kwetu. Kutokana na kutamani kumgegeda kwa kipindi kirefu na nilikuwa nikikosa nafasi kama unavyo fahamu tena kishule shule pesa tu ya...
  10. Mtotofaita

    Msambwanda aka Chura ni kivutio kikubwa kilichoumbwa Duniani. Ebu ona hizi chura

    Wakuu tufungeni safari tukajionee wenyewe huko kihansi pengn walokosekana hapo walibaki kule makao makuu yao
  11. Mtotofaita

    Unatumia mbinu gani kupiga show za kibabe?

    naona leo nmeangukia chumba cha kungwi haya endeleen kunipa maujuzi yakutosha namimi nsiwaangushe vitani wakuu
  12. Mtotofaita

    Napenda wanaume Umri mdogo lakini siwapati. Nifanyaje?

    Solution ni ndogo tu kwanza ajiamini yani akiona kaboy alikovutiwa nako akaite amwambie maana sie wavulana hatunaga desturi yakukataa mtu au akishindwa aje afanye kuni PM😂😂😂😂
  13. Mtotofaita

    Tumshauri kijana mwenzetu Adam Mchomvu achague A au B au C

    Ushari huu ni mzuri endapo utamfikia ila ninaimani itamuwia vigumu sana kuchukua uamuzi kama huu kwani yeye mwenyewe anaonesha kitu kama kuridhika na si wakupambania nafasi yoyote kwakweli inauma sana kwani sote tunafahamu uwezo wa brother Adam lakini sijui yeye mwenyewe anafikiria nini embu...
Back
Top Bottom