Habari zenu wadau wa jukwaa na wa Tz wenzangu. Naomba tujadili maana ya uzalendo na ni vigezo gani vinamtofautisha raia mzalendo na raia asiye na uzalendo, binafsi nafahamu maana ya uzalendo kuwa ni hali ya mtu kuwa tayari hata kufa kwa ajili ya masilahi ya taifa lake, ni dhana inayoweka...
Ukiutazama mchezo wa Ngosha kishabiki utajikuta hauoni anachofanya. Ata kama kuna baadhi ya mapungufu katika utendaji wake lakini tuseme kiuzalendo tu NGOSHA Amejitoa kafara kupigania masilahi ya umma.
Sisi wananchi tunataka maendeleo, na kazi ya upinzani ni kuangalia pale ambapo serikar inakosea kisha kukosoa na kutoa suluhisho la nini kifanyike, hivyo Chadema kama ni wazalendo na sio tu wapigania madaraka watajikuta bado wana nafasi kubwa ya kuendelea kuipa changamoto serikali maana hii nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.